Tangazo la Mafunzo kwa Ajili ya Usajili Kamili

15 July, 2025

 MAFUNZO KWA AJILI YA KUWEZESHA WATHAMINI KUSAJILIWA KATIKA KUNDI LA USAJILI KAMILI NCHINI

Bodi ya Usajili wa Wathamini inapenda kuwatangazia Wathamini wote nchini kwamba inategemea kuendesha mafunzo kwa ajili ya kuwezesha Wathamini kusajiliwa katika kundi la Usajili Kamili, kama ilivyoainishwa katika Kifungu namba 28 (c) cha Sheria ya Uthamini na Usajili wa Wathamini,Sura ya 318.

Settings