Usajili Kamili
Usajili Kamili
<h2>Usajili Kamili</h2>
<p>Ili Mthamini aweze kupata usajili kamili lazima awe na vigezo vituatavyo:</p>
<ul>
<li>Mwenye shahada ya Chuo Kikuu katika usimamizi wa milki na kubobea katika uthamini au kiwango kingine cha elimu kinacholingana na hicho kitakachokubalika na Bodi;</li>
<li>Mwenye uzoefu wa kazi usiopungua miaka mitatu;</li>
<li>Aliyepitia mafunzo na kufaulu mitihani ya Bodi; na</li>
<li>Raia wa Tanzania</li>
</ul>