Usajili Kamili

<h2>Usajili Kamili</h2> <p>Ili Mthamini aweze kupata usajili kamili lazima awe na vigezo vituatavyo:</p> <ul> <li>Mwenye shahada ya Chuo Kikuu katika usimamizi wa milki na kubobea katika uthamini au kiwango kingine cha elimu kinacholingana na hicho kitakachokubalika na Bodi;</li> <li>Mwenye uzoefu wa kazi usiopungua miaka mitatu;</li> <li>Aliyepitia mafunzo na kufaulu mitihani ya Bodi; na</li> <li>Raia wa Tanzania</li> </ul>
Settings