Usajili Kamili

Usajili Kamili

Ili Mthamini aweze kupata usajili kamili lazima awe na vigezo vituatavyo:

  • Mwenye shahada ya Chuo Kikuu katika usimamizi wa milki na kubobea katika uthamini au kiwango kingine cha elimu kinacholingana na hicho kitakachokubalika na Bodi;
  • Mwenye uzoefu wa kazi usiopungua miaka mitatu;
  • Aliyepitia mafunzo na kufaulu mitihani ya Bodi; na
  • Raia wa Tanzania
Settings