Usajili wa Awali
Usajili wa Awali
<p>Ili mthamini aweze kusajiliwa katika kundi hili ni lazima awe na sifa zifuatazo;</p>
<ul>
<li>Mwenye shahada ya Chuo Kikuu katika usimamizi wa milki na kubobea katika uthamini au kiwango kingine cha elimu kinacholingana na hicho kitakachokubalika na Bodi; na</li>
<li>Ambaye hajawa na uzoefu wa kutosha kupata usajili kamili</li>
</ul>