Usajili wa Awali

<p>Ili mthamini aweze kusajiliwa katika kundi hili ni lazima awe na sifa zifuatazo;</p> <ul> <li>Mwenye shahada ya Chuo Kikuu katika usimamizi wa milki na kubobea katika uthamini au kiwango kingine cha elimu kinacholingana na hicho kitakachokubalika na Bodi; na</li> <li>Ambaye hajawa na uzoefu wa kutosha kupata usajili kamili</li> </ul>
Settings