Usajili wa Awali

Ili mthamini aweze kusajiliwa katika kundi hili ni lazima awe na sifa zifuatazo;

  • Mwenye shahada ya Chuo Kikuu katika usimamizi wa milki na kubobea katika uthamini au kiwango kingine cha elimu kinacholingana na hicho kitakachokubalika na Bodi; na
  • Ambaye hajawa na uzoefu wa kutosha kupata usajili kamili
Settings