Usajili wa Awali 
                        
                    
                
            
                            Usajili wa Awali 
                        
                    Ili mthamini aweze kusajiliwa katika kundi hili ni lazima awe na sifa zifuatazo;
- Mwenye shahada ya Chuo Kikuu katika usimamizi wa milki na kubobea katika uthamini au kiwango kingine cha elimu kinacholingana na hicho kitakachokubalika na Bodi; na
 - Ambaye hajawa na uzoefu wa kutosha kupata usajili kamili
 

